Tag Archives: What does the New Message ask of me?

Ni nini Ujumbe Mpya unahitaji kutoka kwangu?

 

Ujumbe Mpya unahitahi uaminifu, ukweli, uadilifu na uazimaji- yale yote ambayo kila mtu anahitaji kujenga katika maish ayake na kla kitu kinacho hitaji kuwa imara katika jamii na kaya, miji na mataifa ya dunia.

Ujumbe Mpya unahitaji uheshimu unachokihitaji na kile dunia inachokihitaji. Inahitaji ugundue na upokee baraka ya Mwumba na ile maandalizi Mwumba ametuma duniani kwa ufaida ya binadamu.

Kama hii inalemea mtu yeyote, basi watu hao hawajatambua mahitaji yao. Hawajatambua mahitaji ya roho yao na mahitaji ya moyo wao. Wanajishugulisha na kile ambacho wanataka na kile ambacho wanakiogopa. Hawaja_ka mahali pa kugundua wanahitaji kutafuta dhamira muhimu katika maisha yao.

Wanahitaji kuchanga ili waweze kuridhika na kuwa na furaha. Wanahitaji kuchangia kwa kingojo cha dunia ndio maisha yao yawe muhimu, ya maana na ya dhamira

Ujumbe Mpya kutoka kwa Mungu unahitaji ugundue haja ya Ujumbe Mpya, usome Ujumbe Mpya, uwaze na utimize maelekezo yake.

Unahitaji upokee baraka yake, faida yake, nguvu yake na uwezo wake katika maisha yako.

Unahitaji ushiriki Ujumbe Mpya na wengine na kuuweka kwa hali sa_, bila kuubadilisha au kuugeuza au kujaribu kuuoanisha na kiti chochote.

Kwa asili, unaulizwa kuupokea Ujumbe Mpya kutoka kwa Mungu na ushuhudie Ujumbe huu. Na ukiweza kupokea baraka yake, unaulizwa utetee Ujumbe huu na utetee ulinzi wake duniani.

Kwa hivyo Ujumbe Mpya unahitaji ukipokee kile unachokihitaji na kile dunia kinahitaji. Iwache hii ile uelewa wako