Kwa nini Ujumbe uko hapa?

 

“Binadamu anaelekea katika mustakabali ambayo itakuwa tofauti na siku zilizopita, lakini hako tayari. Hiyo ndiyo sababu kuna ujumbe mpya kutoka kwa Mungu.”

Binadamu anasimama katika genge la mabadiliko makubwa na na mustakabali wa geugeu

Kuongezeka kwa idadi ya watu katika dunia ya rasilimali chache,tishio la kuenea kwa kunyimwa kwa binadamu, migogoro na vita kwa sasa ni makubwa zaidi kuliko hapo awali. Hiyo ndiyo sababu kuna ujumbe Mpya kutoka kwa Mungu.

Ubinadamu inakabiliwa na kuongezeka kwa madhara ya uharibifu wa joto duniani, mabadiliko ya hali ya hewa ya janga na kuzorota kwa mazingira. Hiyo ndiyo sababu kuna Ujumbe Mpya kutoka kwa Mungu.

Dini mingi za dunia ni vigae,zina mwelekezo wa zamani na pia zinashiriki katika mashindano ili kuweza kutahadhari na kuandaa familia ya binadamu kwa yale yakatakayokuja. Hiyo ndiyo sababu kuna Ujumbe Mpya kutoka kwa Mungu.

Watu wamegawana na hawajui Kiroho Moja cha ubinadamu na Chanzo Moja cha dini za utamaduni za binadamu wote. Hiyo ndiyo sababu kuna Ujumbe Mpya kutotka kwa Mungu.

Watu wanatumia Mungu na dini kuhalalisha vitendo vya ukatili na vya kutisha na pia vya kulipiza kisasi dhidi ya wengine. Hii inagawa familia ya binadamu wakati ambapo umoja na ushirikiano wa binadamu ni muhimu. Hiyo ndiyo sababu kuna Ujumbe Mpya kutoka kwa Mungu.

Binadamu anasimama katika kizingiti cha angani na Mawasiliano na jamii ya mataifa ya waangavu kutoka nje ya dunia. Hii ni hatima yetu. Hili ni tukio kubwa katika historia ya binadamu. Hata hivyo binadamu hayuko tayari. Hiyo ndio sababu kuna Ujumbe Mpya kutoka kwa Mungu.

Hata kwa wakati huu, kuna maingilio na vikosi vya mataifa kutoka nje ya dunia ambayo yanataka kuchukua faida kwa sababu ya udhaifu na magawanyo ya familia ya binadamu. Hata hivyo binadamu bado hayajatambua mambo haya na hajajiandaa. Hiyo ndiyo sababu kuna Mpya Ujumbe kutoka kwa Mungu.

Mawimbi Makubwa ya mabadiliko ambayo yatakuja duniani yanahatarisha maisha ya binadamu na uwezo wa binadamu kuishi kama taifa iliyo huru katika siku zijazo. Hiyo ndiyo sababu kuna Mpya Ujumbe kutoka kwa Mungu.

Watu hawajui ukweli na nguvu ya Knowledge ndani yao, kipaji kikubwa kutoka kwa Muumba kwamba kilichopewa kuongoza na kulinda kila mtu. Hiyo ndiyo sababu kuna ujumbe Mpya kutoka kwa Mungu.

Kuna hamu kubwa ndani ya watu kila mahali kwa kutaka uhusiano mpya na Mungu. Hiyo ndiyo sababu kuna Mpya Ujumbe kutoka kwa Mungu.

Watu wengi wanaanza kuamka kwa sababu ya haja kubwa ya nafsi yao: haja kwa maana, kusudi na mwelekeo wa maisha yao na haja ya kuchanga duniani. Hiyo ndiyo sababu kuna Mpya Ujumbe kutoka kwa Mungu.

Ujumbe Mpya kutoka kwa Mungu umetumwa kutahadhari, kubariki na kuandaa familia nzima ya binadamu. Ujumbe Mpya ni kubwa sana. Inasemea karibu kila kipengele cha maisha yetu. Kwa zaidi ya miaka 25, Mjumbe wake amekuwa akipokea zawadi hii ya binadamu. Na ufunuo unaendelea mpaka leo.