Je, hii ni dini mpya? Kwa nini dunia inahitaji dini Mpya?

Dunia inahitaji uelewa na utambuzi mpya. Kutoka kwa Ujumbe Mpya, aina ya mazoezi ya kiroho na jamii itatokea na, kwa kweli, kutokea hivyo Ujumbe Mpya ni kama dini mpya. Lakini kusudi la Ujumbe Mpya si tu kwa kuunda dini nyingine iliyo katika mashindano au tofauti na dini zote, lakini ni ya kuendeleza uelewa wa binadamu kuhusu ukweli wa kiroho, changamoto zake kubwa katika dunia na hatima yake katika dunia ya waangavu.

Ubunadamu unahitaji uzoefu na uelewa mpya wa nia ya Mungu, lengo na uhai wake duniani, wa mabadiliko makubwa yanayokuja na pia kuhusu mataifa kutoka ulimwengu yanayotisha kudhoofisha umoja, uhuru na enzi ya banadamu duniani.

Dunia basi haihitaji dini mpya kama vile inahitaji uelewa mpya na ufahamu na ahadi mpya ya umoja wa binadamu inayokabiliwa na mabadiliko makubwa ya kudhoofisha. Hii sio tu wazo nzuri. Hii sio tu maadili kanuni. Hii ni muhimu kama ubinadamu utaweza kuishi na kubaki huru.

Ni jambo la muhumi peke yake inayoweza kuita Ujumbe Mpya kutoka kwa Mungu duniani. Hi haja kubwa peke yake inayoweza kuita agano mpya duniani.Ni hali ambayo binadamu hawezi kujiandaa mwenyewe peke yake inayoweza kuita Ujumbe Mpya kutoka kwa Mungu na pamoja nayo, maandalizi yanayowezesha watu kupata uzoefu na uelewa huu mpya, unayohitajika duniani kwa sasa.